Tunapoteswa na kuonewa kwa ajili ya imani yetu, wala tusijihangaishe kujibizana na watesi wetu kwa njia za kimwili. Tumuachie Kristo, yeye atashughulika na watesi wetu. Sikiliza mahubiri ya Mch. Syaiful T.H Siburian yakiwa na ushuhuda mkubwa wa namna Kanisa la Mungu huko Indonesia linavyopitia katika mateso na majaribu makubwa. Ashukuriwe MUNGU ambaye anajibu na kuendelea kulitetea Kanisa lake